Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Customs confiscates 34,470 liters of smuggled petrol and truck in Taraba
-
By Sylvanus Viashima, Jalingo The Operation Whirlwind unit of the Nigeria
Customs Service (NCS) in an intensified fight against fuel smuggling, has
smash...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment