Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Wilshere takes up first managerial job - and will go head-to-head
against former Arsenal team-mate in just his second game
-
The former Arsenal star will take on the first managerial job of his career
following the club's decision to part ways with their head coach on Tuesday
mor...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment