Bondia Muingereza Amir Khan (kushoto) akimtazama mpinzani wake, Mcanada Phil Lo Greco aliyeanguka chini (kulia) na kushindwa kuendelea na pambano la uzito wa Super Welter sekunde ya 40 ukumbi wa Echo Arena Jijini Liverpool usiku wa Jumamosi, hiyo ikiwa mara ya pili baada ya awali kuanguka sekunde ya 18 na kuinuka kuendelea. Khan alikuwa anapigana tena baada ya kusimama kwa takriban miaka miwili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nurses, teachers in FCT protest non-implementation of N70,000 minimum wage
-
NLC threatens showdown next week Byline: Fred Ezeh, Abuja Nurses and
teachers in the Federal Capital Territory (FCT), under the National
Association of N...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment