Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment