Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Ismail Suma (picha ndogo juu kulia), kipa wa zamani wa kimataifa wa Tanzania aliyedakia klabu mbalimbali zikiwemo Simba na Yanga ukipelekwa makaburini kwa mazishi mjini Bujumbura, Burundi leo
Waumini wa Kiislamu na jamaa wakiwa mbele ya kaburi tayari kumhifadhi marehemu Suma katika nyumba yake ya milele
Hili ndilo kaburi ambalo amezikwa Ismail Suma aliyekuwa anacheza soka Burundi
Hapa mwili wa Ismail Suma ukifanyiwa sala
Jeneza la marehemu likipakiwa katika gari kwa safari ya makaburini
Jamaa wakiwa wamelishikilia jeneza la marehemu Ismail Suma kwenye gari





0 comments:
Post a Comment