Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling (katikati) akinyoosha vidole juu kushangili baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City leo Uwanja wa Cardiff City katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England. Bao la kwanza lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya nane huku, Cardiff ikimpoteza mchezaji wake, Joe Bennett aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment