Kipa wa Green Warriors, Shaaban Dihile akitembea kibabe jana wakati wa mchezo wa hatua ya 64 Bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Simba SC. Dihile alidaka kwa ustadi mkubwa ndani ya dakika 90 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 tena Simba wakisawazisha kwa penalti kipindi cha pili kabla ya Warriors ya Daraja la Pili kwenda kushinda kwa penalti 4-3 na kuwavua ubingwa Wekundu wa Msimbazi
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
44 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment