NEEMA ZAIDI ZANZIBAR HEROES, WAPEWA MAMILIONI MCHANA KWEUPEE
Mchezaji wa zamani wa klabu za Chipukizi SC na Shangani FC, Mohammed Abbas (kushoto), akimkabidhi mchezaji wa timu ya Taifa Zanzibar (The Zanzibar Heroes) Mudathir Yahya, fedha shilingi milioni 3.3 zilizochangwa na klabu ya wapenzi wa Zanzibar Heroes tangu timu hiyo ikiwa Kenya kwenye mashindano ya CECAFA Challenge Cup 2017 ambapo Zanzibar ilitinga fainali na kufungwa na Harambee Stars kwa mikwaju ya penelti baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 120. Makabidhiano hayo yakifanyika viwanja vya Forodhani yakiambatana na burudani mbalimbali. (Picha kwa hisani ya Zanzibar Heroes Fans Club).
McIlroy wins Sports Personality of the Year 2025
-
Rory McIlroy is crowned BBC Sports Personality of the Year for 2025 after
clinching the career Grand Slam and playing a key role in Europe's Ryder
Cup win.
NHL Power Rankings: Every team's biggest wish
-
A No. 1 goalie? Another top-nine forward? Each NHL team could use a granted
wish to improve during the holiday season, even those at the top.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment