Mshambuliaji Alvaro Morata akiwa ameweka mpira tumboni ndani ya jezi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Morata alifanya hivyo kwa sababu mkewe ni mja mzito, lakini akaonyeshwa kadi ya njano na ataukosa mchezo ujao dhidi ya Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment