Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 22, 39 na 67 katika ushindi wa 5-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Southampton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Delle Alli dakika ya 49 na Son Heung-Min dakika ya 51, wakati ya Southampton yamefungwa na Sofiane Boufal dakika ya 64 na Dusan Tadic dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment