Mshambuliaji Simba, John Bocco akigombea mpira na beki wa Green Warriors, Cecil Efram katika mchezo wa hatua ya 64 Bora michuano ya Azam Sports Federation Cup usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Green Warriors ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare 4-3
Beki George Minja (kulia) akimtuliza John Bocco wakati wa kupigwa kwenye lango lao, huku kipa Shaaban Dihile akiwapanga mabeki wake kwa ujumla
Mshambuliaji kinda wa Simba, Moses Kitandu akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Mohammed Hussein 'Tshabalala' akikimbilia mpira dhidi ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo mkongwe Mwinyi Kazimoto akimuacha chini mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Green Warriors, Hassan Gumbo akimtoka beki wa Simba, Ally Shomary
Winga wa Simba, Shiza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Kikosi cha Green Warriors katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
15 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment