Beki wa Chelsea, Marcos Alonso akiwapigia saluti mashabiki Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kufunga bao la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Alvaro Morata dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment