Willian akifurahia na mchezaji mwenzake wa Chelsea, Eden Hazard baada ya kufunga mabao mawili dakika za 36 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Jumatano Uwanja wa Bakı Olimpiya mjini Baku. Mabao mengine ya Chelsea katika mchezo huo wa Kundi C yamefungwa na Hazard dakika ya 21 na Cesc Fabregas dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Chelsea face Andrey Santos delay, mystery of Mykhailo Mudryk's updated
contract... and striker's price is named: CHELSEA CONFIDENTIAL
-
CHELSEA CONFIDENTIAL: Of all the midfielders in Ligue 1, nobody has made
more tackles than Santos this term, and he is second only to Hamed Traore
for goal...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment