• HABARI MPYA

        Thursday, November 30, 2017

        SALAH AFUNGA MAWILI LIVERPOOL YACHINJA 3-0 UGENINI

        Alberto Moreno (kushoto) akimpongeza Mohamed Salah baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 77 na 83 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City usiku wa jana Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Sadio Mane dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SALAH AFUNGA MAWILI LIVERPOOL YACHINJA 3-0 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry