Beki Mjerumani, Antonio Rudiger akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 55 ikiilaza 1-0 Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preview: Real Madrid v Arsenal
-
As we aim to reach the Champions League semis, get team news, stats, the
lowdown on Madrid and more in our guide to the game
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment