Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford 'has proven everyone wrong', says Daniel Sturridge after
his impressive display for Aston Villa against PSG - while Wayne Rooney
insists he '100%' still wants to play Man United
-
The Premier League side came into the second leg at Villa Park 3-1 down
after a brilliant display from Paris Saint-Germain in the French capital,
needing a...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment