Neymar (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Dani Alves na Draxler baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 52 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Stade Louis II. mjini Monaco. Bao la kwanza lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 19, wakati la Monaco lilifungwa na Joao Moutinho dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rio Ferdinand questions Bukayo Saka's 'cheeky' decision to try a Panenka
after Arsenal star had penalty saved by Thibaut Courtois
-
The Arsenal maestro has been their go-to star for a number of seasons now,
and despite a long-term injury lay-off this term has been their key
performer in...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment