• HABARI MPYA

        Tuesday, November 28, 2017

        MWANJALI NA MATOLA WALIPOFANYA 'KIKAO CHA DHARULA' JUMAPILI

        Kocha Msaidizi wa Lipuli ya Iringa, Suleiman Matola (kulia) akisalimiana na Nahodha wa Simba, Method Mwanjali (kushoto) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hizo Jumapili Uwanja w Uhuru, Dar es Salaam
        Mzimbabwe, Method Mwanjali (kushoto) na Suleiman Matola walisalimiana kama watu ambao wanafahamiana vizuri
        Wawili hao wote wamecheza Afrika Kusini, lakini hawakuwhai kukutana uwanjani, kwa sababu Matola alimtangulia Mwanjali
        Method Mwanjali hakucheza Jumapili Simba ikilazimishwa sare ya 1-1 na Lipuli 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MWANJALI NA MATOLA WALIPOFANYA 'KIKAO CHA DHARULA' JUMAPILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry