MWANJALI NA MATOLA WALIPOFANYA 'KIKAO CHA DHARULA' JUMAPILI
Kocha Msaidizi wa Lipuli ya Iringa, Suleiman Matola (kulia) akisalimiana na Nahodha wa Simba, Method Mwanjali (kushoto) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hizo Jumapili Uwanja w Uhuru, Dar es Salaam
Mzimbabwe, Method Mwanjali (kushoto) na Suleiman Matola walisalimiana kama watu ambao wanafahamiana vizuri
Wawili hao wote wamecheza Afrika Kusini, lakini hawakuwhai kukutana uwanjani, kwa sababu Matola alimtangulia Mwanjali
Method Mwanjali hakucheza Jumapili Simba ikilazimishwa sare ya 1-1 na Lipuli
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment