Raheem Sterling (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 84 ikiilaza Huddersfield Town 2-1 leo Uwanja wa The John Smith, West Yorkshire huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo katika Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 47 baada ya Sterling kuangushwa kwenye boksi, wakati bao la Huddersfield Nicolas Otamendi alijifunga dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emergency on food security: Ndume lauds Tinubu, advocates new dept for govt
efficiency
-
• Seeks emergency on national security, economy From Adesuwa Tsan, Abuja
Senator representing Borno South, Ali Ndume, has commended President Bola
Tinubu...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment