MAFUNZO YA SOKA YANAYOTOLEWA NA WALIMU KUTOKA JUVENTUS
Mwanasoka chipukizi, Ally Omar Bakhresa akionyesha kipaji chake katika mafunzo maalum ya soka yanayoendeshwa na wataalamu kutoka akademi ya Juventus nchini Italia kwenye viwanja vya kituo cha Michezo kwa Vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMK Youth Centre) eneo la Gerezani, Dar es Salaam
Ally Omar Bakhresa akicheza mpira kwa ustadi na kujiamini kuashiria kwamba akiendelezwa anaweza kuwa mchezaji mzuri
Mwanasoka mwingine chipukizi, Zayed Yussuf Bakhresa akivuta mpira kwa mguu wa 'dhahabu' wakati wa mafunzo hayo
Zayed Bakhresa amewavutia mno walimu kutoka akademi ya Juventus kwa uwezo wake
Mwanasoka mwingine chipukizi, Alex Mukiza akionyesha kipaji chake
Mwalimu kutoka akademi ya Juventus ya Italia akitoa maelekezo kwa vijana waliojitokeza katika mafundisho hayo
Shekells handed first start as England change nine
-
Centre Jade Shekells will earn her first start for England as one of nine
changes made by John Mitchell for Saturday's Women's Six Nations match
against Sc...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment