David Haye akionyesha sehemu aliyofanyiwa upasuaji katika mkono wake baada ya kuanguka kwenye ngazi alipokuwa akifanya mazoezi na kusababisha ajitoe kwenye pambano la marudiano dhidi ya Tony Bellew lililopangwa kufanyika Desemba 17 ukumbi wa O2 baada ya kupigwa na mpinzani wake huyo awali kwa KO raundi ya 11 Machi mwaka huu. Pambano lingine sasa linaweza kufanyika Machi 24 au Mei 5 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scary moment MLB umpire gets drilled in the head by 90mph line drive during
Mets game
-
At the top of the seventh inning, Mets center fielder Tyrone Taylor
connected fiercely with a foul ball that struck first-base umpire Hunter
Wendelstedt an...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment