Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta urges Arsenal to be 'bold and brave' against Real Madrid - as
he insists the Gunners will play to WIN in Spain despite 3-0 aggregate lead
-
ISAAN KHAN IN MADRID: Mikel Arteta has roared on his Arsenal side to be
'bold and brave' when they face-off against Real Madrid at the intimidating
Bernabe...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment