Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ansgar Knauff gears up for key Eintracht Frankfurt comeback against
Tottenham
-
German-Ghanaian winger Ansgar Knauff is on track for a timely return to
Eintracht Frankfurt’s squad ahead of their Europa League second-leg
showdown agai...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment