• HABARI MPYA

        Saturday, November 11, 2017

        GRIEZMANN AFUNGA BAO TAMU UFARANSA YAICHAPA 2-0 WALES

        Antoine Griezmann akijipinda kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 18 Uwanja wa Stade de France mjini Paris katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana. Bao la pili lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: GRIEZMANN AFUNGA BAO TAMU UFARANSA YAICHAPA 2-0 WALES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry