Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CBEX: Nigerians were warned about Ponzi schemes – EFCC
-
The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC) has revealed that it
issued a warning to Nigerians against investing in Ponzi schemes amid
reactions ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment