• HABARI MPYA

        Thursday, November 23, 2017

        BARCELONA NA MESSI WAO WALAZIMISHWA SARE NA JUVENTUS

        Kiungo wa Juventus, Claudio Marchisio (kulia) akimdhibiti mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BARCELONA NA MESSI WAO WALAZIMISHWA SARE NA JUVENTUS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry