Refa Deniz Aytekin akimtoa nje kwa kadi nyekundu, mshambuliaji wa Borussia-Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 72 baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano kufuatia kumchezea rafu Amine Harit wa Schalke katika sare ya 4-4 kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Aubameyang alifunga bao la kwanza la Dortmund dakika ya 12 na akaseti la tatu lililofungwa na Mario Gotze dakika ya 20, wakati mabao mengine ya Dortmund yalifungwa na Benjamin Stambouli aliyejifunga dakika ya 18 na Raphael Guerreiro dakika ya 25. Mabao ya Schalke yalifungwa na G. Burgstaller dakika ya 61, A. Harit dakika ya 65, D. Caligiuri dakika ya 86 na Naldo dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAY TEAMSHEET: Can YOU name the Leicester side that beat Liverpool 2-0 in
February 2016? Or pick YOUR team and guess their starting XI
-
Every day we'll challenge you to name a different starting XI from the
Premier League era. We'll give you a team's rough formation, and the number
of lette...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment