Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah 'Try Again' (katikati) akiwa na kaimu makamu wa Rais, Iddi Kajuna (kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA), Almasi Kasongo (kushoto) wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga uliomalizika kwa sare ya 1-1 leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (kushoto) akiwa na Makamu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura (katikati) na Mbunge wa zamani wa Lindi Mjini, Abdulaziz Mudhihir
Steven Gerrard would be welcome back at Rangers, says Chris Sutton as he
reacts to Philippe Clement's sacking on It's All Kicking Off!
-
Speaking on the latest episode of It's All Kicking Off!, Sutton says he
would bring an 'aura' and 'clarity' back to a Rangers side that have
struggled so f...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment