Mshambuliaji Jamie Vardy (kushoto) akiifungia Leicester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la pili la Leicester Jonjoe Kenny alijifunga dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star QB Bryce Underwood Gets 'Competitive' Michigan NIL Offer
amid LSU Buzz
-
LSU may have received a commitment from quarterback Bryce Underwood in
January, but the Tigers still have competition for the top recruit in the
Class of…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment