// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
HIVI NDIVYO OKWI ALIVYOWAKOSA YANGA AGOSTI 23, JUMAMOSI ATARUDIA MAKOSA AKIPATA NAFASI KAMA HII TENA? - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEHIVI NDIVYO OKWI ALIVYOWAKOSA YANGA AGOSTI 23, JUMAMOSI ATARUDIA MAKOSA AKIPATA NAFASI KAMA HII TENA? - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
HIVI NDIVYO OKWI ALIVYOWAKOSA YANGA AGOSTI 23, JUMAMOSI ATARUDIA MAKOSA AKIPATA NAFASI KAMA HII TENA?
Kipa wa Yanga, Mcameroon Youthe Rostand akiokoa kwa mguu miguuni mwa mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi kwenye mechi ya Ngao ya Jamii Agosti 23, mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 kabla ya Simba kwenda kushinda kwa penalti 5-4
Okwi alifanikiwa kuwapita mabeki wa Yanga na kubaki na kipa lakini akashindwa kufunga. Jumamosi timu hizo zinakutana tena Uwanja wa Uhuru katika mechi ya Ligi Kuu, Okwi atapata nafasi kama hii tena? Na akiipata atarudia makosa?
Wazi kipa Youthe Rostand alimshukuru Mungu wake kwa kukoswa na Okwi hapa Agosti 23, Uwanja wa Taifa.
Item Reviewed: HIVI NDIVYO OKWI ALIVYOWAKOSA YANGA AGOSTI 23, JUMAMOSI ATARUDIA MAKOSA AKIPATA NAFASI KAMA HII TENA?
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment