Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star QB Bryce Underwood Gets 'Competitive' Michigan NIL Offer
amid LSU Buzz
-
LSU may have received a commitment from quarterback Bryce Underwood in
January, but the Tigers still have competition for the top recruit in the
Class of…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment