Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Racehorse Corbetts Cross dies after suffering fall during Gold Cup at
Cheltenham Festival
-
Corbetts Cross has died, aged eight, after suffering a heavy fall during
the Gold Cup Chase at Cheltenham Festival on Friday afternoon.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment