// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN UNITED YAPUNGUZWA KASI, SARE 2-2 NA STOKE CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN UNITED YAPUNGUZWA KASI, SARE 2-2 NA STOKE CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, September 09, 2017

        MAN UNITED YAPUNGUZWA KASI, SARE 2-2 NA STOKE CITY

        Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akimruka beki wa Stoke City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Bet365 timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Man United yalifungwa na Rashford dakika ya 45 na ushei na Romelu Lukaku dakika ya 57 wakati ya Stoke yamefungwa na Eric Maxim Choupo-Moting yote dakika za 43 na 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN UNITED YAPUNGUZWA KASI, SARE 2-2 NA STOKE CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry