Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo mchana Uwanja wa Etihad. Leroy Sane alitokea benchi kuchukua nafasi ya Jesus dakika ya 57 naye akafunga mabao mawili dakika za 77 na 90 na ushei, wakati bao la kwanza leo lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 24. Liverpool ilimaliza pungufu baada ya Sadio Mane kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 37 baada ya kumgonga usoni kipa wa Man City, Ederson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nekede poly lecturer suspended for assaulting student
-
By John Ogunsemore The Federal Polytechnic Nekede in Owerri, Imo State has
suspended a facilitator, Dr. Ifeanyichukwu Okoroafor for allegedly
assaulting ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment