Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana's Reginald Asamoah Collins to officiate at U-17 Africa Cup of Nations
in Morocco
-
Reginald Asamoah Collins of Ghana has been chosen by the Confederation of
African Football (CAF) to officiate as a referee at the 2025 TotalEnergies
U-17 A...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment