Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim provides Aydon Heaven update after Sky Sports refuse to show
replays of Man United centre back's injury during clash at Leicester
-
The 18-year-old - who featured in the third game out of United's last four
- was taken on a stretcher, forcing the Portuguese manager to a
substitution for...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment