Kocha Mjerumani wa Liverpool, Jurgen Klopp akifurahia na mchezaji wake, Msenegali Sadio Mane mazoezini viwanja vya Melwood jana kujiandaa na mchezo dhidi ya Newcastle United kesho. Mane anarejea kuelekea mechi ya kesho baada ya kukosekana katika mchezo uliopita dhidi ya Leicester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment