Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chaos at Milwaukee high school as parents rage after ex-cop 'took 400 video
of girls changing in locker room'
-
A chaotic scene unfolded at a Milwaukee high school this week, where
furious parents confronted officials over a security guard accused of
filming girls in...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment