Dimitri Oberlin (kulia) akiifungia Benfica moja ya mabao yake mawili jana katika ushindi wa 5-0 dhidi ya FC Basle kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa eSt. Jakob-Park mjini Basel. Oberlin alifunga dakika za 20 na 69, wakati mabao mengine yalifungwa na Michael Lang dakika ya pili, Ricky van Wolfswinkel kwa penalti dakika ya 59 na Blas Riveros dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment