Nyota wa Paris Saint Germain, Edinson Cavani na Neymar Junior wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Cavani alifunga dakika ya 31 na Neymar dakika ya 63 baada ya beki Dani Alves kufunga la kwanza dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment