Mwanasoka Bora wa Ulaya na Dunia, Cristiano Ronaldo akiinua juu taji la Super Cup ya Ulaya kusherehekea pamoja na Kombe la La Liga walilotwaa msimu uliopita baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kufuatia mchezo dhidi ya Valencia uliomalizika kwa sare ya 2-2. Wengine ni Sergio Ramos (kulia) na taji la la Liga na Marcello na aliyebeba Kombe la Mfalme. Real pia ni mabingwa wa dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rio Ferdinand questions Bukayo Saka's 'cheeky' decision to try a Panenka
after Arsenal star had penalty saved by Thibaut Courtois
-
The Arsenal maestro has been their go-to star for a number of seasons now,
and despite a long-term injury lay-off this term has been their key
performer in...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment