Lucas Vazquez wa Real Madrid akivuta mpira dhidi ya wachezaji wa Valencia katika mchezo wa La Liga jana Uwanja Bernabeu timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 10 na 83, wakati ya Valencia yamefungwa na Carlos Salor dakika ya 18 na Geoffrey Kondogbia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Miz reveals plans for a new YouTube project, what it was like facing
Kurt Angle as part of The Shield and when he will stop full-time with WWE
-
The Miz has done everything anyone could wish for in the WWE and is still
only 44 still taking on challenges outside of the wrestling ring - so when
will h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment