• HABARI MPYA

        Saturday, August 26, 2017

        MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA

        Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wakitambiana baada ya kupimwa uzito jana ukumbi wa  T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani na wote kukutwa na kilogramu 69.8 kuelekea pambano lao la uzito wa Super-Welter usiku wa leo ukumbi wa MGM Grand Arena, ambalo kwa Afrika Mashariki tutalishuhudia asubuhi ya Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry