Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 akimalizia krosi ya Henrikh Mkhitaryan katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Leicester City Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la United limefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disregard fraudulent messages in circulation – JAMB tells students
-
From Fred Ezeh, Abuja Joint Admissions and Matriculation Board (JAMB)
wishes to inform the public particularly candidates that registered for the
2025 Un...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment