James Milner (wa pili kushoto) akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Liverpool kumpongeza baada ya shuti lake kumbabatiza mchezaji wa Hoffenheim, Havard Nordtveit na kuingia nyavuni kuipatia timu yake bao la pili dakika ya 74 katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa WIRSOL Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Liverpool ilishinda 2-1 bao lake lingine likifungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 35, wakati la wenyeji lilifungwa na Mark Uth dakika ya 87 huku pia mshambuliaji wa zamani wa Leicester, Andrej Kramaric akiikosesha penalti na Hoffenheim, iliyookolewa kiulaini Simon Mignolet PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment