Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He was immense' - Rice lauded as 'one of the best on the planet'
-
Arsenal star Declan Rice cements place as one of world's best midfielders
as his side overcome holders Real Madrid to reach Champions League
semi-finals.
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment