// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KICHUYA NA HUYU BEKI WA RAYON JANA ILIKUWA SHUGHULI PEVU TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KICHUYA NA HUYU BEKI WA RAYON JANA ILIKUWA SHUGHULI PEVU TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, August 09, 2017

        KICHUYA NA HUYU BEKI WA RAYON JANA ILIKUWA SHUGHULI PEVU TAIFA

        Beki wa Rayon Sport ya Rwanda, Eric Rutanga (kushoto) akipambana na winga wa Simba SC, Shiza Kichuya katika mchezo wa kirafiki kwenye tamasha la Simba Day jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
        Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza
        Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza 
        Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) wakionyeshana kazi 
        Hakika wawili hao walionyesha kweli wao ni vijana wadogo na wapo fiti 
        Lakini mwishowe, Eric Rutanga (kushoto) akaanza kumdhibiti kwa kumshika na kumkwida Shiza Kichuya 
        Shiza Kichuya alionyesha uimara wake kwa kuhakikisha pamoja na kuchezea rafu hapotezi mpira miguuni

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: KICHUYA NA HUYU BEKI WA RAYON JANA ILIKUWA SHUGHULI PEVU TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry