Mbunge wa Newala kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika (kulia) ambaye pia ni Mwenyekiti Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya timu yake anayoipenda, Yanga SC dhidi ya Lipuli FC ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa leo ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1
Bechem United’s clash against Bibiani Goldstars is 50-50 – Coach
Frimpong Manso
-
Head coach of Bibiani Goldstars Frimpong Manso is anticipating a very tough
test against Bechem United in the upcoming Ghana Premier League clash.The
Hunte...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment