Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA star Trae Young storms down the tunnel after getting ejected in Hawks'
playoff defeat by Magic
-
Atlanta Hawks player Trae Young stormed down the tunnel in anger after
getting ejected at the end of his team's play-in tournament defeat by the
Orlando Ma...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment