Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea akimtungua kipa wa Tottenham, Hugo Lloris dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Pedro katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley, London. Chelsea imeshinda 2-1 na bao lake la kwanza alifunga Alonso pia wakati la Spurs limefungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga dakika 82 PICHA ZAIDI YA GONGA HAPA
How Millie Bright is harnessing Chelsea's three League Cup defeats as
'fuel' for an unprecedented quadruple - as Blues prepare to face Man City
in this year's final on Saturday
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY TAMARA PRENN: But on Saturday, amid an eye-catching
unbeaten season, Chelsea have the chance to reverse the trend in the Subway
Wome...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment