// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, June 30, 2017

        TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG

        Kiungo wa Tanzania, Erasto Nyoni akimtoka mchezaji wa Mauritius katika mchezo wa mwisho wa Kundi A Kombe la COSAFA Castle jana Uwanja wa Moruleng mjini Rusternburg, Afrika Kusini timu hizo zikitoka sare ya 1-1
         Mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri akimfukuzia mchezaji wa Mauritius
        Nahodha wa Tanzania, Himid Mao akimtoka mchezaji wa Mauritius
        Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akimtoka mchezaji wa Mauritius jana
        Nahodha wa Tanzania, Himid Mao akipambana na mchezaji wa Mauritius jana
        Beki wa Tanzania, Gardiel Michael akiruka kugombea mpira na mchezaji wa Mauritius
        Beki wa Tanzania, Salim Mbonde akimdhibiti mchezaji wa Mauritius jana 


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry